Meneja habari na mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amemtaka winga Ladack Chasambi asivurugwe na bao alilojifunga kwenye mchezo ...
MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ...
Hii hapa ratiba ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024/25 iliyofanyiwa maboresho. Hatimaye sakata la wachezaji watatu nyota wa timu ...
KOCHA Fadlu Davids ameshindwa kuifikia rekodi ya Patrick Aussems ya kushinda mechi 11 mfululizo za Ligi Kuu baada ya jioni ya jana kulazimishwa sare ya 1-1 na Fountain Gate iliyomaliza ...
ZINAJITAFUTA. Ndiyo, miamba miwili ya Ligi Kuu England kati ya timu kubwa sita, ina hatihati ya kukosa michuano ya Ulaya ...
Sare ya bao 1-1 imeifanya Simba kushindwa kurejea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kufikisha pointi 44, moja nyuma ya vinara Yanga yenye 45.
KABLA ya kutimka kwa aliyekuwa kocha wa Yanga, Sead Ramovic alikuwa alimkalia kooni winga mpya wa timu hiyo, Jonathan ...
Okwaro, ambaye anavutiwa na Cristiano Ronaldo, Jumanne wiki hii alijumuishwa katika kikosi cha Harambee Starlets chenye ...
MAMBO yameendelea kuwa mabaya kwa Arsenal katika kipindi ambacho inapambana kuhakikisha inaishusha Liverpool katika mbio za ...
MASTAA wa Real Madrid, Luka Modric na Vinicius Jr wanadaiwa kuingia kwenye mvutano baada ya Luka mwenye umri wa miaka 39, kukasirishwa na kitendo cha Vini kutoisaidia timu katika kukaba ...
UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa kupigwa mechi mbili za kukamilisha raundi ya 17, huku kazi kubwa ikiwa jijini ...
KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopewa Namungo kutoka kwa Tabora United, kimemuamsha Kocha Juma Mgunda aliyesema ameona mwanga ambao akirekebisha kidogo tu mambo yatakuwa matamu kwa Wauaji hao wa Kusini.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results